Yohane Kaduma Amehudhuria Hafla ya Uwekaji Jiwe la Msingi Kiwanda cha Kuunganisha Matrekta Tanzania

Mkurugenzi Mtendaji wa PASS Trust, Yohane Kaduma, amehudhuria tukio kubwa la uwekaji jiwe la msingi kiwanda cha kuunganisha matrekta Tanzania. Kiwanda hiki cha uunganishaji matrekta kinajengwa kwa ushirikiano kati ya kampuni ya Kitanzania ya Agricom Africa Ltd na Mahindra Mahindra ya nchini India ambayo ni kampuni kubwa duniani kwa uzalishaji wa Matrekta. Jiwe la msingi […]
Mkuu wa Mkoa wa Singida Ametembelea Banda la PASS Trust

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mh. Halima Dendego ambaye pia ni Mwenyekiti mwenza Kanda ya Kati upande wa maandalizi ya Nane Nane – 2024, ametembelea Banda la PASS Trust linalopatikana katika Viwanja vya Nane Nane jijini Dodoma kuanzia tarehe 1 – 8 Agosti, 2024 na kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa katika sekta ya kilimo, ufugaji, uvuvi, […]
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Ametembelea Banda la PASS Trust

DODOMA: Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe ametembelea Banda la PASS Trust katika Maadhimisho na Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi (Nane Nane – 2024) yanayofanyika Kitaifa katika Viwanja vya Nane Nane jijini Dodoma kuanzia tarehe 1 – 8 Agosti, 2024. Ameweza kujionea juhudi za PASS Trust katika uwezeshaji wananchi kiuchumi […]